Hapa nimesimama kileleni kwenye milima ya Gangilonga. Kinachoonekana mbele ni Chuo Kikuu Cha Tumaini. Ni umbali wa takribani kilomita nne toka niliposimama. Kwa mbali kinaonekana pia kituo cha daladala cha Tumaini.
Reactions::
1 comments:
Anonymous
said...
Unamaana gani kusemakuwa kamera bado ina nguvu kwani kamera huishiwa nguvu?au ni betri ndio humalizika nguvu??
1 comments:
Unamaana gani kusemakuwa kamera bado ina nguvu kwani kamera huishiwa nguvu?au ni betri ndio humalizika nguvu??
Post a Comment