Subscribe:

Monday, January 26, 2009

Kumbukumbu Hii Bado Ipo?


Hilo ni garimoshi na hapo ni Bububu Zanzibar katika nusu ya pili ya mwaka 1800.Wadau nauliza kama bado ipo au kumbukumbu za mabaki yake? Anauliza mwenzetu Clarence Mahunda.
Reactions::

3 comments:

Anonymous said...

muulize karume

Anonymous said...

Karume hana kumbukumbu yule kichwa panzi, MUULIZE BI KIDUDE

Anonymous said...

1800 kulikuwa na train,2009 hakuna train, zanzibar imerudi hatua za miaka 229 nyuma, yaani karne 2 na miaka 9 nyuma kimaendeleo,

Post a Comment