dah,hapo kumbe mwenyekiti ndio hukosekanagi maeneo yako hayo.wee anon hii picha haijatimiza hata week mbona bongo kuna sehemu unaweza kuektia muvi na ukasema ni za 1936 huko
wee! Anonymous wa hapo juu, hujaelewa nini sasa? picha hiyo hata kama ilipigwa Mwaka huo, ndivyo palivyo mpaka hivi leo ndivyo hivyo, tangu lini,wabongo wakawa na mazoea yakurekebisha mazingira,
Mwenyekiti, Umenikumbusha mbali sana, wakati wa nyuma hiyo ilikuwa bar maarufu sana, watu wakipiga bia na nyama choma, hapo palikuwa makutano ya watu wa Kitanzini na maeneo ya jirani. Inaonekana sasa imekuwa kijiwe cha pombe za nyumbani.
Huo mwaka ni kuonyesha jengo lilipojengwa/kutumika. Majengo mengi ya zamani huambatanisha na miaka iliyojengwa........Sasa mwenyekiti mbona hujajibu tuhuma? Hivi ni kweli hayo ndio maeneo yako ya kujidai?
6 comments:
sjaelewa. picha hii imepigwa 1968?
dah,hapo kumbe mwenyekiti ndio hukosekanagi maeneo yako hayo.wee anon hii picha haijatimiza hata week mbona bongo kuna sehemu unaweza kuektia muvi na ukasema ni za 1936 huko
wee! Anonymous wa hapo juu, hujaelewa nini sasa? picha hiyo hata kama ilipigwa Mwaka huo, ndivyo palivyo mpaka hivi leo ndivyo hivyo, tangu lini,wabongo wakawa na mazoea yakurekebisha mazingira,
mwenyekiti kumbe mna baa ya gorofa sio?kweli mnatesa sana huko
Mwenyekiti,
Umenikumbusha mbali sana, wakati wa nyuma hiyo ilikuwa bar maarufu sana, watu wakipiga bia na nyama choma, hapo palikuwa makutano ya watu wa Kitanzini na maeneo ya jirani. Inaonekana sasa imekuwa kijiwe cha pombe za nyumbani.
Huo mwaka ni kuonyesha jengo lilipojengwa/kutumika. Majengo mengi ya zamani huambatanisha na miaka iliyojengwa........Sasa mwenyekiti mbona hujajibu tuhuma? Hivi ni kweli hayo ndio maeneo yako ya kujidai?
Post a Comment