

Mwanadada Tabi Mwanjelwa! mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Anategemewakujimwaga Uwanjani mjini Tampere,Finlnad taktika onyesho la aina yake "Fest Africa"Sauti ya Tabia Mwanjelwa itayeyusha barafu! mjini Tampere katika onyesho hilo,ambapo bendi nyngi zinategemewa kupanda jukwani kuwapa burudani washabiki,wasaniibendi zingine zitakazo shiriki ni pamoja na "The Ngoma Africa Band",vikundi vya Sanaa"The Mpondas" &drum bodymovements's,Toothpaste Band,na wasanii wengi wengineo.Onyesho hilo lotafanyika katika ukumbi wa Klubi,Tampere.




Tanzanian Shilling Converter
0 comments:
Post a Comment