Subscribe:

Saturday, February 28, 2009

Mazoezi Na Mawaidha






Mazoezi ya mpira ina maana pia ya kutoa mawaidha kwa wachezaji. Pichani ni kijana Saitoti, kocha mkuu wa G-Kids. Miye kocha msaidizi ni mpiga picha pia wa timu!
Reactions::

4 comments:

Anonymous said...

Hapo panaonekana ni pazuri,na watoto wako kwenye mazingira mazuri, ya fysical and mental. Lakini tofauti yake ni hivi sio watoto wote! wale mwenzangu na mimi mzazi hana uwezo, unaishia kuangalia kwenye fance tu.Na mwisho nawapongeza kwa kazi nzuri ya kuwaweka vijana feet, kifysical and mental.

Anonymous said...

Safi sana mwenyekiti. Hapo ni Iringa International School. Endelea kuinua vipaji.

Anonymous said...

mdomo unamkaba zidane,hehehe mdomo bwana mdomo unampiga hata tyson

Anonymous said...

Mwenyekiti, Huu ndio uzalendo unaotakiwa... unanena kitu kwa vitendo. Hongereni sana sana kwa kweli kwa kujitolea kwa kazi hii, maana naamini ni juhudi zenu binafsi. Mimi karibia naridi Bongo nikifika huko ntauktafuta tu Mwenyekiti angalau tuongezee mipira mingine miwili. Ndo kuchanga-changa huko.
Mdau Mzalendo.

Post a Comment