Subscribe:

Wednesday, February 25, 2009

Mboga Na Matunda Ya Asili

Nzega, Tabora leo asubuhi.
Reactions::

4 comments:

Anonymous said...

ni muda wa shule? au amesha toka shule! maanake hii biashara sio yake kwa umri wake anatakiwa awe shule!

Anonymous said...

Hayo matunda poli! asilia,ni mazuri sana, kwani yana mineral nyingi! kwa mjini kuyapata shughuli, ndio uzuri wa shamba na vyakula vya nature.

KIPILI said...

Hayo kwenye mafungu yanaitwa matobho kama big G vile yanapendelea kuota sehemu zenye vichuguu.

Anonymous said...

srekali inasema inafanya kazi safi, matunda na mbogamboga zinanyauka kwa kukosa soko. mkulima atapata wapi ari ya kuongeza uzalishaji.

Post a Comment