ukipata nafasi Mh Mwenyekiti iweke jamvini picha ya shule ya msingi mwenge na Shycom institute maana ndio shule zangu mdau wako,,,usihangaike sana lakini mwenyekiti maana najua bado unasafari ndefu,,nimepamiss sana Shy-city thats all,,
mwenyekiti tafadhali tupe picha ya mwenge primary school mi mwenyewe nimepiga book hapo, nilimaliza darasa la saba mwaka 1987, na kina rajabu bwanga, nusu, richard mtaita,joseph magoke, ismaili, martha shirima,waziri,joyce elihaki,juvenali,james dogani,sebastian nonni walimu walikua mwalimu masanja, matatizo, rehema, elihaki, noni. duh ebwana enhe bonge la kumbumbu, fanya fasta mwenyekiti.
Karibu home Bwana Mjengwa. Ukikamata basi kutokea hapo na kubisha nyumbani kwa mzee wa vijisenti na Bwana Mapesa basi utakuwa umefika nyumbani kabisaaa!!!!!!
Hi, kwa aliyeandika kuhusu mwenge primary school, just reminden me a lot, Mie ni joseph magoke and yeah 1987 tulipomaliza all those name!! last nilikuwa mwenge around 2005 shit, we must have a reunion soon, gonna search on facebook for those name
Mwenyekit wewe ni nani? face yako naikumbuka wewe unanikumbuka? nilitesa sana buluba secondary school. Mie ni joseph magoke, a.k.a juce. mwenyekiti wewe ulisoma buluba au mwenge? hawa jamaa rajabu bwanga, nusu, richard mtaita,joseph magoke, ismaili, martha shirima,waziri,joyce elihaki,juvenali,james dogani,sebastian nonni walimu walikua mwalimu masanja, matatizo, rehema, elihaki, noni bila kumsahau richard kilema wote nawakumbuka. Nikoa sweden kwa mnaonifahamu pliz my face book is juce magoke or email me @ magoke@gmail.com
7 comments:
Mjengwa,
Nisalimie hapo Shycom. Nimepiga buku enzi hizo angalau mambo mazuri. Nilipita Juni mwaka jana niliona kama mji unapiga hatua za kinyume-nyume.
ukipata nafasi Mh Mwenyekiti iweke jamvini picha ya shule ya msingi mwenge na Shycom institute maana ndio shule zangu mdau wako,,,usihangaike sana lakini mwenyekiti maana najua bado unasafari ndefu,,nimepamiss sana Shy-city thats all,,
mwenyekiti tafadhali tupe picha ya mwenge primary school mi mwenyewe nimepiga book hapo, nilimaliza darasa la saba mwaka 1987, na kina rajabu bwanga, nusu, richard mtaita,joseph magoke, ismaili, martha shirima,waziri,joyce elihaki,juvenali,james dogani,sebastian nonni walimu walikua mwalimu masanja, matatizo, rehema, elihaki, noni. duh ebwana enhe bonge la kumbumbu, fanya fasta mwenyekiti.
Mwenyekiti
usiku wa saa tatu! duu yaani hio ni too late au..
Karibu home Bwana Mjengwa. Ukikamata basi kutokea hapo na kubisha nyumbani kwa mzee wa vijisenti na Bwana Mapesa basi utakuwa umefika nyumbani kabisaaa!!!!!!
Hi, kwa aliyeandika kuhusu mwenge primary school, just reminden me a lot, Mie ni joseph magoke and yeah 1987 tulipomaliza all those name!! last nilikuwa mwenge around 2005 shit, we must have a reunion soon, gonna search on facebook for those name
Mwenyekit wewe ni nani? face yako naikumbuka wewe unanikumbuka? nilitesa sana buluba secondary school. Mie ni joseph magoke, a.k.a juce. mwenyekiti wewe ulisoma buluba au mwenge? hawa jamaa rajabu bwanga, nusu, richard mtaita,joseph magoke, ismaili, martha shirima,waziri,joyce elihaki,juvenali,james dogani,sebastian nonni walimu walikua mwalimu masanja, matatizo, rehema, elihaki, noni bila kumsahau richard kilema wote nawakumbuka. Nikoa sweden kwa mnaonifahamu pliz my face book is juce magoke or email me @ magoke@gmail.com
Post a Comment