kaka mjengwa safi sana kwa picha za singida,mimi ni mzawa wa hapo ila sindai nadhani ilitakiwa kuwa kindai,kaka mjengwa nilikuomba kuniwekea picha za shule nilizosoma al haramain na benjamin william mkapahigh school mwaka jana nimesubiri mpaka nimejuta ila labda hujapata muda wa kupitia maeneo hayo, ntaendelea kusubiri kaka,nakutakia kila la kheri.
vp na yale mawe yapo?karibia na uwanja wa namfua na sehemu nyinginezo nina uhakika tukiyatifua yale tutapata madini tukaleta wawekezaji waje watuibie mawe yetu
serikali inatakiwa kuwasaidia wananchi kuwekeza kwenye kilimo badala ya kuwasaidia wageni kwa kuwasaidia wasilipe kodi na vinginevyo halafu hao wageni wakishapata lao wanakimbia. afadhali wakiwasaidia wananchi kila kitu kitabaki nchini. itakua vibaya kama mahali pazuri kama hapo patapewa wageni.
13 comments:
=MCHOMEKO=
Hivi, sisi Watanzania wenyewe hatuwezi kuwekeza katika Kilimo?
Nauliza kwa sababu zifuatazo:
Tanzania inawataalamu wengi tu wa kilimo,
Tanzania inaardhi kubwa na nzuri sana kwa Kilimo
Tanzania ina Watu wake wengi tu walioko nje wenye uwezo wa kuja hapa nchini na kuwekeza katika kilimo.
Mbona kuna wale wa Mara waliojitokeza na kufanya vitu vyao katika Ujenzi wa CHUO?
1.Analyst
2.BAP
Naomba maoni yenu kwani ninyi ni miongoni mwa wachambuzi makini sana.
SASA INABIDI WAOTESHE MELI.
kaka mjengwa safi sana kwa picha za singida,mimi ni mzawa wa hapo ila sindai nadhani ilitakiwa kuwa kindai,kaka mjengwa nilikuomba kuniwekea picha za shule nilizosoma al haramain na benjamin william mkapahigh school mwaka jana nimesubiri mpaka nimejuta ila labda hujapata muda wa kupitia maeneo hayo, ntaendelea kusubiri kaka,nakutakia kila la kheri.
hiyo sehemu ni nzuri sana. i hope watu watatunza mazingira yake ili pazidi kupendeza.
Maggid, nimeipenda sana hii picha na nimeiweka kama screen saver yangu,natumaini hutajali. Kazi nzuri na shukrani sana.
Subilaga.
Natumai ulikuwa na maana ya Kindai
vp na yale mawe yapo?karibia na uwanja wa namfua na sehemu nyinginezo nina uhakika tukiyatifua yale tutapata madini tukaleta wawekezaji waje watuibie mawe yetu
WEWE mkali Mkuu wa wilaya ya nanii yeye nje ya nchi,wewe umeimaliza Tanzania
Mwenyekiti,
masahihisho kidogo, Ziwa la pili ni Kindai na si Sindai.
yah ni kindai na kuna samaki watamu kweli hapo,pia singidani nakumbuka walikua wanatengeneza chumvi sijui kama bado wanaendelea
Nasikiaga tu dagaa wa kigoma na dagaa wa mwanza hayo maziwa hayatoi dagaa na uvuvi ukoje hapo magufuli hajafika huko?
TANZANIA NI LAZIMA WAWEKEZAJI WA KILIMO WATOKE NJE???
ZIMBABWE
serikali inatakiwa kuwasaidia wananchi kuwekeza kwenye kilimo badala ya kuwasaidia wageni kwa kuwasaidia wasilipe kodi na vinginevyo halafu hao wageni wakishapata lao wanakimbia. afadhali wakiwasaidia wananchi kila kitu kitabaki nchini. itakua vibaya kama mahali pazuri kama hapo patapewa wageni.
Post a Comment