Subscribe:

Tuesday, March 31, 2009

Timu Ya Kwanza Jamii Hii Hapa!


Wengine mnakaribishwa sana kuchangia fikra zenu zenye kujenga na kwa ustawi wa nchi yetu.
Reactions::

5 comments:

Anonymous said...

Sijasomea uandishi habari lakini nina interest ya kuandika. Sina elimu ya juu, Mtanikaribisha?
Vipi kuhusu terms zenu kimalipo!

Egidio Ndabagoye said...

Timu imekamilika.

Aliko said...

Hii ndio dream team in Journalism Tanzania.Hongereni

Anonymous said...

Nafurahi sana kuona sura ya BAP

Namkumbuka sana kwa mjadala wa Kingunge ndani ya Kijiji hiki.

Niwapongeze sana kwa kuanzisha gazeti "Kwanza Jamii"

Nina imani kubwa sana na Maggid. Bap sina mashaka naye kabisa.

Inaonesha ni muelewa wa mambo mengi sana.

Kwanza jamii, liwe la jamii kwelikweli, lisiwe la MPITO.

Jamii kubwa ya wa TZ wanaishi vijijini itapendeza zaidi iwapo mtakuwa mnawakumbuka katika kwanza jamii.

Anonymous said...

...Kweli hiyo Timu Imetulia, Ndugu Mwenyekiti. Tunategemea makubwa na Tofauti kutoka kwenu. PONGEZI!

Post a Comment