Subscribe:

Thursday, March 26, 2009

Kumbukumbu Ya Marijani Wa Rajab


Hayati Marijani Rajabu

Ni miaka 14 tangu Marijani Rajabu au “Jabali la Muziki” aiage dunia. Marijani alikuwa nyota njema ya muziki kwa miaka mingi. Aliweza kushiriki katika uimbaji na utunzi wa nyimbo nyingi ambazo zilipendwa, zinapendwa na zitaendelea kupendwa au kusikilizwa kwa miaka mingine nenda rudi. Globu ya Jamii kwa kushirikiana na www.bongocelebrity.com wanatoa salamu kwa wapenzi wote wa Jabali la Muziki na kuwakumbusha kwamba leo ndio siku ya kumuenzi. Rai ingine ni kwa waandaaji wa Kili Music Awards kumuenzi Marijani katika tuzo watoazo.


sikiliza vibao vyake viwili kwa kubofya hapa
BongoCelebrity
Reactions::

1 comments:

Anonymous said...

"Mwanaaa-ameka" Ohh! Mungu ailaze roho yako pema.

Post a Comment