Subscribe:

Thursday, March 26, 2009

MSIBA

Familia ya Mallya Kilauwo inasikitika kutangaza kifo cha Cecilia Damas Thadey Mallya
kilichotokea 24/03/2009 kwa ajali ya kugongwa na gari.
Marehemu alizaliwa 13/12/2002,alikuwa anasoma darasa la pili shule ya Msingi Maili Sita.
Mazishi yatafanyika siku ya ijumaa 27/03/2009 nyumbani kwao Maili-sita Moshi.
Unaweza kuwapatia pole wafiwa.

0715-384608 Damas Mallya (baba mzazi)
0754-042821 Honesta Kiria (mama mzazi)
1816-462-2100 Lucy Mallya : Missouri
1515-779-2774 John Mallya : Des Moines


Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina la Bwana lihimidiwe-AMEN.
Reactions::

0 comments:

Post a Comment