Alikozaliwa baba yangu. Ni kilomita 8 kutoka mji wa Rujewa, wilaya ya Mbarali, Mbeya.( Picha nyingine zinanishtua hata miye mwenyewe. Imepita zaidi ya miaka 20 na bado napenda staili hiyo ya mavazi; batiki/kitenge na jeans!)
Reactions::
7
comments:
Anonymous
said...
Hivi tanzania ni laana au.
Kweli suala la maji ni tatizo!!
Niliwahi kupita wilani kwa mhisimiwa wa kweli mwaka juzi! du!! sikuyaamini macho yangu. Yaani unamkuta mama anachota maji ya mvua yaliyotuama barabarani!!!
Si mbali jama ni Chalinze-Baga.
Hili eneo la Pwani maji ya ardhini si mengi tu, kwanini wasichimbiwe visima!
7 comments:
Hivi tanzania ni laana au.
Kweli suala la maji ni tatizo!!
Niliwahi kupita wilani kwa mhisimiwa wa kweli mwaka juzi! du!! sikuyaamini macho yangu. Yaani unamkuta mama anachota maji ya mvua yaliyotuama barabarani!!!
Si mbali jama ni Chalinze-Baga.
Hili eneo la Pwani maji ya ardhini si mengi tu, kwanini wasichimbiwe visima!
Tumekali politi,
Matangazo ya Vifo leo R/One kuna.
Nimesikia kama jina la mwanahabari mmoja!!!
mjengwa maji umechemsha hayo au unakunywa tuu!!uogopi kipindupindu
Kweli mwenyekiti umetoka mbali na vitenge
But yanakupendeza sana
Iyo PEKUPEKU au kuna marapa hapo
Nchi yetu haikutakiwa kuwa katika hali kama hii ni viongozi tunao wachagua HAWATOSHEKI
Hicho kisima bado kipo lakini au kilishakauka au kuhujumiwa?
Post a Comment