
Inahusu Maktaba za jamii. Inafanyika kwenye Chuo Cha Maendeleo ya Wananchi Ilula, Kilolo, Iringa. Ilianza jana na inamalizika leo. Inashirikisha wadau kutoka vyuo vya maendeleo ya wananchi vya Ilula, Njombe na Ulembwe vyote vya Iringa. Kuna wadau pia kutoka vijiji na maeneo yanayovizunguka vyuo hivyo. Warsha hii imefadhiliwa na shirika la Misaada ya Kimaendeleo la Forum Syd la nchini Sweden.




Tanzanian Shilling Converter
0 comments:
Post a Comment