Subscribe:

Thursday, April 30, 2009

Baharini kunavuliwa Vingi!

Reactions::

7 comments:

Anonymous said...

Kaka Maggid hiyo ndiyo nini tena? Mbona unatutisha? "Heri iliwe na Simba...siyo samaki Jamani!" Ha haaa
ANALYST

Anonymous said...

Ni nini hiki? mbona mwili unanisisimka? Nguruwe si nguruwe. Bali balaa. Wataalam tuelezeni ni samaki au mnyama? analiwa?

Anonymous said...

huyu ni samaki au nguruwe jamani

Anonymous said...

Huyo Taa! yakhe

Anonymous said...

Tanzania wani (one)mabo mengi ya ajabu, huyo samaki (taa)akikaushwa vipi apelekwe makumbusho kumuona shs 150.00 watoka bara hawatatamani kumuona. Je sabasaba akipelekwa pale !"Julias Kambarage" itakuaje.

Watanzania tutalia sana.

Anonymous said...

Huyo taa ati au kwa kihehe tunaita 'stingley'

Anonymous said...

Mbona huyo ni Taa mdogo, cha mtoto huyo mkia wa Taa unauma huo, hebu muwe mnaenda Fery jamani kuangalia kuna viumbe wa kila aina wanavuliwa. Huyo Taa huyooo, analiwa na nyama yake utaikuta imekatwa vipande vipande huko soko la samaki au sokoni Tandika au imekaushwa kwenye moto, mchuzi huo!

Post a Comment