Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mtoto Mariam Isihaka(8) aliyelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Temeke baada ya kuathirika kwa mshtuko kutokana na ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhi silaha katika kambi ya jeshi huko Mbagala jijini Dar es Salaam jana mchana.Pembeni aliyeketi na Mtoto Miriam ni mama yake Husna Selemani mkazi wa Mtoni Mtongani, jijini Dar es Salaam.( Picha na Freddy Maro)
Thursday, April 30, 2009
" Pole Bi.Mariam!"
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mtoto Mariam Isihaka(8) aliyelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Temeke baada ya kuathirika kwa mshtuko kutokana na ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhi silaha katika kambi ya jeshi huko Mbagala jijini Dar es Salaam jana mchana.Pembeni aliyeketi na Mtoto Miriam ni mama yake Husna Selemani mkazi wa Mtoni Mtongani, jijini Dar es Salaam.( Picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Tanzanian Shilling Converter
1 comments:
Muandishi, ni Miriam au Mariam?
Post a Comment