Madaktari Bingwa katika Taasisi ya Mifupa ya Moi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbil(kulia) wakimpa Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto aliyevaa mavazi maalum) maelezo ya mgonjwa aliyejeruhiwa vibaya na moja ya mabomu yaliyolipuka katika ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhia dhana za kivita katika kambi ya jeshi la Wananchi wa Tanzania huko Mbagala, jijinji Dar es Salaam.Mgonjwa huyo amepoteza mguu wa kulia na amepoteza damu nyingi na napumua kwa kutumia mashine maalumLife Supporting machine.Rais Kikwete alirejea jijini Dar es Salaam leo akitokea mjini Arusha ambapo alihudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ulimalizika jana jioni.(picha na Freddy Maro)
Thursday, April 30, 2009
Maelezo
Madaktari Bingwa katika Taasisi ya Mifupa ya Moi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbil(kulia) wakimpa Rais Jakaya Mrisho Kikwete(kushoto aliyevaa mavazi maalum) maelezo ya mgonjwa aliyejeruhiwa vibaya na moja ya mabomu yaliyolipuka katika ajali iliyotokea katika ghala la kuhifadhia dhana za kivita katika kambi ya jeshi la Wananchi wa Tanzania huko Mbagala, jijinji Dar es Salaam.Mgonjwa huyo amepoteza mguu wa kulia na amepoteza damu nyingi na napumua kwa kutumia mashine maalumLife Supporting machine.Rais Kikwete alirejea jijini Dar es Salaam leo akitokea mjini Arusha ambapo alihudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ulimalizika jana jioni.(picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Tanzanian Shilling Converter
0 comments:
Post a Comment