Nikitokea Dar kupitia Bagamoyo, Miembe Saba, Mlandizi na kuendelea.
Poleni kwa mimi kushindwa kuwaingizia picha kwa zaidi ya saa 24. Ni kutokana na sababu za kiufundi. Natumaini kesho hali itarejea ya kawaida.
Kwa sasa nimefurahi kurudi Iringa yetu ya baridi ya wastani. Si ya joto kama la Dar na Bagamoyo.
Na kazi zinaendelea bila joto wala mbu!
Sunday, April 19, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Tanzanian Shilling Converter
2 comments:
Kaka hebu tuelezane vizuri,kwa nini kila siku wakati unatoka dar kuja iringa lazima upite Bagamoyo?Huwa unapita kuzimua pale mlingotini?au?.....
mdau.
Unajitahidi kutujulisha kila unaposafiri safi sana!!
Post a Comment