

Sherehe za muungano Ujerumani
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Ahmada Ngemera, amesema kuwa suala la mtu kuhoji muungano ni kuhoji matakwa ya Watanzania.
Alisema hayo katika sherehe za kuadhimisha miaka 45 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, jijini Berlin.
Balozi Ngemera amesema kuwa muungano wa Tanzania ni muungano pekee uliyodumu barani afrika, na kwamba ni mfano kuwa afrika inaweza kuwa moja.
PIC ya kwanza
Aboubakary Liongo wa dw, Sudi Mnette ambaye kwa sasa yuko dw, wakizungumza na balozi Ngemera, mwanzo kulia huku Naibu Balozi Ali Siwa akisikiliza kwa makini
Malumbo S.Malumbo




Tanzanian Shilling Converter
1 comments:
coca cola moja watu kumi!!!kweli mmebanwa
Post a Comment