Wa TLP wakiwa nje ya Ukumbi wa Manispaa ,Morogoro kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa marehemu Phares Kabuye ( aliyekuwa mbunge wa zamani Biharamulo Magharibi). Kabuye alifariki katika ajali ya basi.
Reactions::
1 comments:
Anonymous
said...
Jamani, Khanga,tshirt na Kofia kwenye mambo ya siasa zimetufikisha pabaya. Najua hapo ni msibani. Lakini khanga...khanga jamani
1 comments:
Jamani, Khanga,tshirt na Kofia kwenye mambo ya siasa zimetufikisha pabaya. Najua hapo ni msibani. Lakini khanga...khanga jamani
Post a Comment