Freddy Macha kafanya maonyesho na kuongoza semina mbalimbali za sanaa za maonyesho na fasihi miaka mingi. Hapa anaonekana akitongoa shairi lake maarufu linalokejeli urasimu katika tamasha la muziki na ushairi (“Soul to Soul”) mjini Copenhagen, Denmark, 1985. (picha na Jørn Stjerneklar).
Kitabu cha hadithi fupi fupi : “Mpe Maneno Yake” kilichochapishwa mwaka 2006 na E & D Limited Dar es Salaam kitakuwa moja ya mada husika za semina zake Freddy Macha hususan katika fani ya uandishi na maisha ughaibuni.




Tanzanian Shilling Converter
0 comments:
Post a Comment