Subscribe:

Wednesday, May 27, 2009

Kinondoni Biafra, Tena !



Mkurugenzi wa ASET Da' Asha Baraka anasoma kila kitu. Mheshimiwa ni Mjumbe wa NEC,CCM,hivyo basi na gazeti la Uhuru lazima alikamate. Pichani ni maeneo ya karibu na kwetu,Kinondoni Biafra,jana asubuhi.
Reactions::

0 comments:

Post a Comment