Subscribe:

Saturday, May 30, 2009

Mambo Ya Twanga Hayo!


Movenpick Dar Es Salaam. Ni katika kuzindua albamu yao ya ' Mwana-Darisalama'. Imeletwa na mdau wa http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

2 comments:

Anonymous said...

Mdada, ukivunja viti vya watu je?

nukta77 said...

Anon Date: Mon Jun 01, 12:27:00 PM EAT
umenifurahisha kwa kweli.
Ye Mdada akiporomoka kwenye hicho kiti akalalia pua na manundu yamtoke usoni kama si kupoteza meno kadhaa, hapo haituhusu, yeye alimradi tu asivunje viti alivyoparamia. Asiharibu biashara bure. ha ha haa!

Post a Comment