Subscribe:

Saturday, May 23, 2009

Nchi Ya Amani!


Jamaa amechoka, katandika boksi lake na kuuchapa usingizi wa mchana. Ni mtaa wa Jamhuri, Dar leo alasiri.
Reactions::

4 comments:

Anonymous said...

Amechoka baada ya kufanya kazi gani na ni mchana? Au anafanya kazi za usiku zisizojulikana?

Anonymous said...

dalili za uvivu, yaani wabongo kwa kupenda kupumzika hata bila kufanya kazi, yaani we acha tu!

afande midako said...

ingekuwa nchi ya amani angelalia tumbo

Anonymous said...

Yawezekana ni njaa na sio uvivu. Hakuna mwenye akili timamu anayependa kukaa bila shughuli. Na huyu anaonyesha atakuwa na familia inayomtegemea.

Post a Comment