USHIRIKA NI NJIA PEKEE YA KUPINGA UNYONYAJI.
Na Mwandishi Wetu,
Masasi, Mtwara
Mkuu wa mkoa wamtwara Kanali mstaafu Anatori Tarimo amaeyasyma hayo alipokuwa akifungua mkutano mkuu wa chama cha ushirika cha mkoa wa Mtwara (MAMCU)katika ukumbi wa masasi sekondari mwishoni mwa wiki.
Tarimo amesema njia ya kumkomboa mkulima ni kuwa mwana ushirika na ndiyo njia pekee ya kuupiga vita unyoyaji ulio kisiri katika kuwanyonya wakulima wa zao la ko;rosho hapa mkoani pia kwa kufuata mfumo wa stakabadhi ghalani mfumo ambao ume waletea tija wakulima wengi katika miaka hii miwili iliyopita. Amesema wakulima wame weza kununua usafiri,kujenga nyumba bora na za kisasa zaidi,kuimarisha mashamba yao,simu za mikononi kwa mawasiliano na ndugu zao hata vyama vyamsingi vingine kununua matrekta ya kulimia.
Amesema kufuatana na mfumo huo wa stakabadhi ghalani katika msimu wa 2008 jumla ya shilingi bilioni 27.1 zimekwenda kwa wakulima ambapo awali zingekwenda kwa walanguzi wale waliokuwa wakijimwagia bia wakati ule kabla ya mfomo huu wa stkabadhi ghalani kubunuwa.jambo ambalo ilikuwa ni dhuruma kubwa sana kwa wakulima wenu.
Alieleza kuwa wakati wa kubuni mfumo huu walikumbana na changamoto kadhaa ambazo alizitaja kama kulikuwa na watumishi wachache waliokuwa wakishrikiana na wafanyakazi wa ushirika pamoja na walanguzi kujaribu kuharibu mfumo huu usikubalike na wamkulima mkoani, lakini baada ya mfanikio hayo machache wakulima waliweza kunufaika na kile walicho kiuza katika vyama vyamsigi na mafanikio yake ndiyo haya mnayo yajadili leo hapa nakuoanda mbinu nyingine za kuboresha mfumo huu uimarike
Aliesema nivizuri kwa kila chama cha msingi kufunga hesabu za fedhe katika mapato na matumizi kwa masimu unapo malizika na kubaini manbo fulanifulani yaliojitokeza katika manunuzi ya mazao ya wakulima kwa msimu na kuwasomea wakulima kabla ya mkutano mkuu.kuitishwa. Aidha Tarimo amewataka viongozi wa vyama vya msingi kuwa macho na walanguzi wana jipitisha huko na huko kanza kulangua korosho ametoa agizo iwapo watabainika watu hao wakamatwe na kufikishwa mahakamani.
Naye meneja mkuu wa MAMACU LTD. Bw, Omega Mnali amesema kufuatana na kufanikiwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani kumewapa heshima kubwa kwa wakulima mkoani humo na amesema kuwa sasa wanajipanga katika ununuzi wakila zao mkoani humo linunuliwe kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.
Hatahivyo meneja huyo ametoa chaongamoto zilizopo kwa msimu ujao ni kuwahi kupeleka fedha katika vyama vya msingi haraka na kuanza kununua korosho. pamoja na hayo meneja huyo amwaeleza wajumbe kuwa chamachake kimesha jiweka vyema katika kukabiliana na usumbufu wa maghala ya kuhifadhi korosho msimu ujao kwa kujenga maghala yake huko Nanyumbu,Masasi,na Mtwara.
Mhasibu wa chama hicho Bw,Crement Kimolo amesema kwa msimu wa mwaka jana MAMCU walikopa shiligi 114 milioni kununulia mazoao kutoka benki ya CRDB tawi la mtwara na baada ya kuuza mazao hayo katika soko la dunia wamesha rejesha mkopo huo CRDB. Na hawana deni popote.




Tanzanian Shilling Converter
2 comments:
USAFIRI HUU HUITWA MSHIKAKI, KAMA UNAVYOWAONA WAMETUNGWA WATU WANNE NA MISHIKAKI PIA HUUNGWA VINYAMA VINNE.
PS - the NYTimes will be running two more articles on childbirth in Tanzania, so I'll keep an eye out and send you the links. Here's the first one:
http://www.nytimes.com/2009/05/24/health/24birth.html?em
Post a Comment