Subscribe:

Thursday, May 21, 2009

Zain Chap Chap



Mnenguaji, Mussa Kifukwe akitumbuiza wakati wa uzinduzi wa huduma ya Zain Chap Chap uliofanyika Dar es Salaam jana. Zain imeingia ubia na Kampuni ya Bakhressa kusambaza muda wa maongezi kupitia simu selula ili kupeleka huduma za Zain karibu na wateja.
Reactions::

0 comments:

Post a Comment