Hapo Mapinga kuna vijana wahuni sana hapo kama mwaka hivi uliopita walikuwa wanakata mashamba ya watu wanauza eti heke 1 Tsh. 50,000/= mpaka 80,000/=. Khaa!
Kumbe sio yao walikuwa matapeli ni mashamba ya watu wao walipewa walime mazao ya muda tu.
Wengi kweli walilizwa. We Bagamoyo heka iuzwe 50,000/= Khaa! We mwenyewe huwezi kujiuliza kwanza? deci inakujaga kwa sura tofauti tofauti.
1 comments:
Hapo Mapinga kuna vijana wahuni sana hapo kama mwaka hivi uliopita walikuwa wanakata mashamba ya watu wanauza eti heke 1 Tsh. 50,000/= mpaka 80,000/=. Khaa!
Kumbe sio yao walikuwa matapeli ni mashamba ya watu wao walipewa walime mazao ya muda tu.
Wengi kweli walilizwa. We Bagamoyo heka iuzwe 50,000/= Khaa! We mwenyewe huwezi kujiuliza kwanza? deci inakujaga kwa sura tofauti tofauti.
Post a Comment