Subscribe:

Friday, April 30, 2010

Precious Na Amal



Greek Club, Iringa.
Reactions::

Disko Mpaka Liamba....!





Greek Club, Iringa, leo usiku.
Reactions::

Haya Tena, Disko Hili!




Greek Club, Iringa, usiku huu.
Reactions::

Disko La Kukata Na Mundu Greek Club!




Iringa, usiku huu. Ni Disko lililowajumuisha walimu, wanafunzi na wazazi wa wanafunzi wa Iringa International School. Lilikuwa ni disko la kutunisha mfuko wa Community Service Club ya wanafunzi. Naam. Ugiriki kama nchi yaweza kuwa hatarini kufilisika, lakini Greek Club ya Iringa bado ina uhai!
Reactions::

Mtu Mzima Akienda Kuvua.....



.... Harudi nyumbani na tu- Vidagaa! Kuvua vidagaa ni sehemu ya kujifunzia watoto kuvua na kucheza pia. Pichani ni kijijini Tungamalenga , hivi karibuni.
Reactions::

THINGS TO REMEMBER!

THINGS TO REMEMBER.....



* STOP TELLING PEOPLE HOW THEY SHOULD LIVE THEIR LIVES BY ASKING THEM PERSONAL QUESTIONS LIKE WHEN ARE YOU BUYING A CAR , BUYING A HOUSE, WHEN ARE YOU GETTING MARRIED, WHEN ARE YOU HAVING A CHILD ETC.

* STOP ASKING PEOPLE QUESTIONS THEY DON'T HAVE ANSWERS FOR, IT EXPOSES YOUR LEVEL OF MATURITY AND INTELLIGENCE E.G. WHY DO YOU HAVE SKIN RASHES HAVE GAINED OR LOST WEIGHT ETC. (WILL THEY EVER KNOW WHY?),



* BAD MANNERS TO ASK A PhD STUDENT, HOW IS YOUR RESEARCH GOING? OR HOW LONG BEFORE YOU FINISH YOUR THESIS? WHY DON'T YOU ASK HER ABOUT HER HEALTH OR HOW IS HE OR SHE COPPING WITH BERGEN WEATHER?
* IF SOMETHING IS NOT YOUR BUSINESS STAY OUT OF IT BECAUSE YOU ALSO DID NOT START WHERE YOU ARE NOW-UNLESS YOU ARE ASKED FOR ADVICE.
*
* IT IS NORMAL TO GOSSIP BUT PLEASE DON'T MAKE IT A HABIT, RATHER TURN YOUR GOSSIPING SKILLS INTO SOMETHING POSITIVE.
*
* NOBODY IS PERFECT; WE ALL HAVE OUR WEAKNESSES, SO STOP COMPLAINING OR CRITICISING OTHER PEOPLE, BECAUSE THEY ALSO FEEL THE SAME ABOUT YOU. IT IS JUST THAT THEY ARE EMOTIONALLY MATURED TO ASK YOU ABOUT YOUR LOOKS AND THE WAY YOU ARE BECAUSE DEFINITELY YOU ARE NOT AN ANGEL. MANY THINGS ABOUT YOUR APPEARANCE CAN ALSO BE QUESTIONED.



* COMPLIMENT A PERSON IF HE/SHE LOOK NICE INSTEAD OF ASKING WHAT IS THE OCCASION



* TRY TO ASSOCIATE WITH POSITIVE PEOPLE AND AVOID NEGATIVE PEOPLE WHO ALWAYS TRY TO BRING YOU DOWN



* IF A PERSON TELLS YOU SOMETHING CONFIDENTIAL OR PERSONAL STOP DISCUSSING IT WITH OTHER PEOPLE, IT EXPOSES YOUR LEVEL OF MATURITY



THIS WAS WRITTEN BY SOMEBODY WHO WAS NOT MARRIED, NOT HAVING CHILDREN, NOT HAVING A HOUSE, NOT DRIVING A CAR, HAS SKIN RASH BUT FORTUNATELY HAVE A NICE BODY MEANING NOT YET GAINED WEIGHT TO BE TOLD WHY IS SHE FAT. THE EXPERIENCE IS SO TRAUMATIC TO HER.



PLEASE FORWARD TO PEOPLE WHOM YOU KNOW ARE READY TO BE MATURED ENOUGH AND STOP INTERFERING IN OTHER PEOPLE'S PERSONAL LIVES









Reactions::

Njia Hii Inakwenda Ruaha National Park



Maeneo haya ni karibu na Idodi.
Reactions::

Amekoboa, Amesaga....



... Bado ugali. Kijijini Tungamalenga, Iringa hivi karibuni.
Reactions::

Thursday, April 29, 2010

Mengine Yanatisha: Jamaa Kamkamata Nyoka!




Nilipokuwa Tungamalenga hivi karibuni nilimshuhudia jamaa ( Pichani) akimkamata nyoka aliyetoka porini na kupita kwenye ua wake. Angalia njia ya nyoka huyo picha ya chini. Jamaa kwa kutumia kitambaa alimkaba nyoka kichwani na kisha kumtumbukiza kwenye tundu analofugia nyoka. Naam. Mengine yanatisha, yataka moyo!
Reactions::

Tutafika Tu!



Tungamalenga, Iringa.
Reactions::

Kimeshika Kasi; Kilimo Kwanza!



Kijijini Tungamalenga.
Reactions::

Nabeel Nassa: Inter Yaingia Fainali Baada Ya Miaka 38!



Ni furaha kubwa na ya kihistoria kwa timu ya Fc Inter Milan kitika usiku wa jana kwenye uwanja wa Camp nou, baada ya kufanikiwa kuisimamisha mabingwa watetezi Fc Barcelona ambayo ilishinda kwa taabu kwa goli 1-0 lililofungwa na mlinzi wa timu ya Barcelona Pique katika kipindi cha pili cha mchezo huo ambao timu ya Inter ilicheza kwa saa nzima watu kumi uwanjani baada ya mchezaji wao Thiago Motta kutolewa kwa kupewa kadi mbili za njano katika dakika ya 14 ya kipindi cha kwanza, Sasa Inter itakumbana na Bayern Munich kwenye fainali zatakazo fanyika Spain katika mji wa Madrid tarehe 22/5/2010 kwenye uwanja wa Bernabeu.
Reactions::

Da' Subi: Gari Inauzwa!



Kwa niaba ya rafiki wa karibu, naomba msaada katika blogu yako kutangaziwa gari inauzwa kama maelezo yanavyosomeka na picha zinavyoonekana hapo:

Volkswagen Polo 2002 make with registration of T814BAH
Engine size: 1390cc
Fuel: Petrol
Color: Exterior silver, Interior black
Odomoter reading: 49423km (inaongezeka maana inatumika mpaka ipate mteja!)
6 CD changer, MD player, Good stereo music
Tyres: Michelin with alloy rims

Runs great!

Asking price: Tshs 8 millions (there is room for negotiation)

For serious buyers please call 0715484351 or 0787 958315 TAFADHALI USIPIBU!
Reactions::

Jumuiya Ya Watanzania Reading

SHEREHE YA KUSIMIKWA KWA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA READING 03.05.2010


Jumuiya ya watanzania Reading inapenda kuwaalika watanzania wote waishio Uingereza kwenye sherehe ya kuwasimika viongozi wapya waliochaguliwa tarehe 24.04.2010.

Jumuiya imewaalika viongozi mbalimbali wa kitaifa na vyama visivyo vya kiserikali. Mgeni rasmi katika hafla hii atakuwa ni mh. Mama balozi Mwanaidi Maajar.



Jumuiya imeandaa shughuli mbali mbali siku hiyo ikiwemo nyimbo, mwakilishi wa reading post, wagombea ubunge kutoka vyama vya Labour, Conservative na Liberal Democratic pia wamealikwa kuwasimika viongozi.

Kingilio na vinywaji Bure

Ukumbi: The warehouse
1A Cumberland Road
Reading
RG1 3LB




Tarehe:03.05.2010

Muda: Kuanzia Saa 10 Jioni (4pm)
Mpaka Saa 5 Usiku (11pm)

Burundani: Italetwa na Dj Richie wa Bongo DEEJAYS
Kwa mawasiliano zaidi piga 07954563709, 07876126862, 07979428883

Nyote Mnakaribishwa

--
Jumuiya Ya Watanzania Reading-UK
http://www.tanzaniaassociation-reading.blogspot.com/
Reactions::

Mshikaki!



Kijijini Tungamalenga, Iringa.
Reactions::

Njombe Inakua!



Kuna majengo mengi mapya ikiwamo hoteli kama hiyo pichani.
Reactions::

Tunahitaji Kucheka...



... Wakati mwingine!
Reactions::

JK Amewasili Kampala Leo






1. Traditional dancers intertain President Jakaya Mrisho Kikwete and his entourage shortly after he arrived at Entebbe airport for the crucial EAC conference on investment.

2.Uganda's Vice President Prof.Gilbert Bukenya welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete shortly after he arrived at Entebbe International airport for The 3rd East Africa Investment conference.
3. A young ugandan girl Clarissa Kanyenjeka presents a bouquet of flowers to president Jakaya Kikwete shortly after he arrived at Entebbe International Airport for the EAC investment conference to be held ta Munyonyo Speke Resort in Kampala.


4. Uganda's Vice President Prof.Gilbert Bukenya escorts president Jakaya Kikwete through Entebbe airport shortly after he arrived for the 3rd East Africa Investment conference to be held at Munyonyo speke Resort in Kampala(photos by Freddy Maro)
Reactions::

Neno La Leo: Metafysiki, Jua Linapoangazia Jiwe...



Picha hiyo ni ya kuhuzunisha sana. Imepigwa na Freddy Maro wa Ikulu. Inamwonyesha Rais Jakaya Kikwete akimfariji Mzee Mrisho Omari, ni mzazi wa mtoto Omar Mrisho aliyefariki katika ajali ya gari akiwa na watoto wenzake wawili wa kijiji cha Msoga. Marehemu Omari alikuwa na miaka kumi na mitatu tu. Katika maisha kuna visivyoshikika, visivyogusika, lakini ... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

Ben Taylor



Mkurugenzi wa Asasi ya Faraja. Tembelea uone shughuli za daraja. http://www.daraja.org
Reactions::

Tembelea; daraja.org!



Njombe. http://www.daraja.org
Reactions::

Untitled!



Ruaha National Park.
Reactions::

Wanavyotusema Ughaibuni Kuhusu Tazara!



Mkuu,
leo jumatano hapa uk kwenye bbc 4 kimeonyeshwa kipindi kuhusu tazara na ni haibu tupu mkuu kwa wale walioko uk kitarudiwa tena kesho na tarehe moja chanel ile ile bbc 4 na chini ni sehemu chache ya kasheshe ya tazara.... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

Anaipenda Nchi Yake!



Mzee Pesambili wa Tungamalenga, Isimani, Iringa.
Reactions::

Wednesday, April 28, 2010

JK Azifariji Familia Za Wanafunzi Waliokufa Ajalini







1. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Marehemu Evaristi Semeni mtoto mwenye umri wa miaka 11 kumi na moja aliyefariki katika ajali ya kugongwa na gari juzi jioni katika kijiji cha Msoga ambapo yeye pamoja na watoto wengine wawili walifariki dunia.Semeni alikuwa mwanafunzi katika shule ya msingi Msoga.Semeni pamoja na wenzake Ezekiel George Setumbi(13) mwanafunzi katika shule ya msingi Mboga wilayani Bagamoyo na Omari Mrisho aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Msoga walifariki dunia baada ya kugongwa juzi saa moja na nusu jioni na lori aina ya Isuzu Tiper lenye usajili wa namba SM 2514 mali ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo lililokuwa likitoka Chalinze Kuelekea Msata.Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Bwana Mohamed Mbwana amesema kuwa wakati wa ajali hiyo mtoto Ezekiel Setumbi alifariki papo hapo ambapo wenzake Evarist Semeni(11) na Omari Mrisho(13) walifariki wakati wakipata matibabu katika kituo cha afya Chalinze. Kwa Mujibu wa Kamanda Mbwana Dereva wa lori hilo Lukino Kayela(40) mkazi wa Mji Mwema Bagamoyo amekamatwa na alitarajia kufikishwa mahakamani leo.Wanafunzi hao walifariki kutokana na majeraha makubwa waliyoyapata kichwani.



2. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika nyumba ya familia ya Marehemu Evaristi Semeni(11) mmoja kati ya watoto watatu walifariki kwa ajali ya kugongwa na lori katika kijiji cha Msoga wilayani Bagamoyo,juzi jioni.Rais Kikwete alizitembelea familia za marehemu na kuwafariji jana.



3. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifika kutoa heshima za mwisho na kuifariji familia ya marehemu Omari Mrisho(13) aliyekuwa mwanafunzi wa shule ya msingi Msoga ambaye yeye na wanafunzi wenzake wawili walifariki katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Msoga juzi.



4. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mzee Mrisho Omari mzazi wa Marehemu Omari Mrisho(13) katika kijiji cha Msoga jana.Omari(13) na wenzake wawili walifariki katika ajali ya gari juzi jioni.



5. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwafariji baadhi ya wakazi wa vijiji vya Msoga na Mboga wilayani Bagamoyo jana wakati wa mazishi ya wanafunzi watatu wa Shule za msingi Mboga na Msoga waliofariki kwa ajali ya gari juzi kijijini hapo(Picha na Freddy Maro).
Reactions::

Neno La Leo: Rais Wa Nchi Hata Akiropoka,,,,!



Ni amri. Katika nchi zetu hizi Rais wa nchi ni Amiri Jeshi Mkuu, ina maana pia 'Mtoa Amri Mkuu'. Mwaka mmoja baada ya kuingia madarakani, nilimkuta Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiongea na akina mama wauza mayai pale Mtaa Kongo. Ni mwaka 1986. Mzee Mwinyi alifika mahali hapo akiwa na .. Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

Utamu Wa Hindi La Moto Ni Kwenye Baridi...



Kama la Njombe. Pichani ni Njombe, jana mchana.
Reactions::

Usiku Unaingia!




Kijijini Nyeregete, juzi jioni.
Reactions::

Tuesday, April 27, 2010

Monday, April 26, 2010

Neno La Leo: Ng'ombe Aliyekonda Haoni Aibu, Ni Mwenye Ng'ombe!



Niliahidi neno la leo lingehusu ' mshindwa mbaya'. Naandika neno hili nikiwa kijijini Nyeregete usiku huu. Mazingira haya yamenilazimu nibadilishe maudhui ya neno la leo. Naam. Ng'ombe aliyekonda haoni aibu, bali ni mwenye ng'ombe. Waliokulia maeneo ya wafugaji wanalielewa hili vizuri sana. Inapoonekana ng'ombe wamekondeana watu huuliza; .. Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

Sanaa Ya Kupukucha Mahindi!



Kijijini Mwakangaga, Ubaruku, leo mchana.
Reactions::

Niko Na Wajomba!



Kwa shangazi yangu Getruda, kijijini Mwakaganga, Ubaruku, Mbarali, Mbeya. Leo mchana. Jioni nilifika kijijini kwetu Nyeregete, hapo nitalala usiku huu. Na usiku kijijini ni usiku. Kumetulia kweli, na bahati mbaya kijijini kwetu Nyeregete hatuna umeme. Wakati wowote laptop yangu itaishiwa betri. Kutoka hapa Nyeregete kuingia hifadhi ya taifa ya Ruaha kwa sasa si mbali sana, na wanyama naambiwa wamesogea zaidi. Ukitoka hapa Nyeregete unakwenda mahali panaitwa Nyamtowo, kisha unavuka mto mdogo wa Nyangasada, halafu unakwenda kijiji cha Magwalise na baadae Liangadupa. Ukifika hapo umeshaingia Ruaha National Park. Niliwahi kufika hadi Liangadupa kwa miguu enzi hizo. Ni mwendo wa saa mbili hivi kwa miguu. Alfajiri ya kesho nitaondoka Nyeregete kwenda kibaruani kwangu.
Reactions::

AUDIO: Ujumbe wa Mrisho mpoto pamoja na FULL AUDIO ya maadhimisho ya Muungano 2010


Marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (aliyeketi kushoto) na Marehemu Abeid Amani Karume (aliyeketi kulia) pamoja na Mashahidi kwenye utiaji saini makubaliano ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika kuiunda Tanzania
Leo tarehe ya ishirini na sita ya mwezi wa Aprili mwaka elfu mbili na kumi (26 Aprili 2010), tumeadhimisha miaka arobaini na sita (46) tangu Waasisi wa Mataifa haya mawili yaani, hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wa iliyokuwa Tanganyika na hayati Abeid Amani Karume wa iliyokuwa Zanzibar, wakiri mbele ya kadamnasi kuwa nchi mbili hizi sasa zimeungana na kuunda Jamhuri ya Tanzania na hivyo kuwaunganisha wananchi hawa kuwa Taifa moja.

Maadhimisho ya sherehe hizo yalijumuisha pia vikundi vya burudani, na kama kawaida mara baada ya shughuli ya makundi mbalimbali ya Jeshi kukamilisha shughuli zao, Halaiki ya Vijana ilikuwa kivutio kikubwa.

Kwa sisi tuliofuatilia kwa njia ya redio, tulifaidi kusikia ujumbe wa Mrisho Mpoto, Nyimbo za Ngoma na nyimbo za Vijana wa Halaiki 'Tanzania Tanzania, Nakupenda kwa moyo wote' na mwingine mpya ambao jina lake rasmi sijalifahamu, lakini wasema, 'Ni furaha kuzaliwa Tanzania', ukipenda kusikiliza haya yote, tafadhali bofya linki hiyo --> http://bit.ly/8X3QMS

Subi|
Reactions::

Nyeregete Leo Usiku!



Jamaa wanarudisha ng'ombe wa kazi kijijini.
Reactions::

Sunday, April 25, 2010

Niko Mbugani Navua Samaki!




Mpakani mwa hifadhi ya taifa ya Ruaha na kijiji cha Tungamalenga kuna mto mdogo unaoingiza maji yake kwenye mto Ruaha Mkuu. Hapo nimeshinda siku ya jana nikivua samaki. Sikutoka patupu, nimeambulia japo kambale wawili. Napenda sana kuvua samaki maana ni njia nzuri ya kutulia na kupata fikra mpya huku ukisikiliza sauti za nyenze na ndege wa porini. Ni kupumzika kutoka dunia ya simu, redio na runinga. Maana hapo hakuna mtandao. Hata hivyo, usiku wa jana nimepata habari kuwa Simba tumewafunga WaMisri 2-1! Ama kweli, Simba mwaka huu hatukamatiki! ( Watani mpo?)
Reactions::

Kijijini Tungamalenga Nimekaribishwa Vingi Vinono!



Wenyeji ni wakarimu sana.
Reactions::

Neno La Leo: Mshindwa Mzuri Ni Yupi?





Ni yule anayeamini kuwa katika ushindani kuna kushinda na kushindwa. Yu tayari kuinua mkono na kumpongeza mpinzani wake aliyemshinda. Ni yule anayejitathmini ili kuangalia makosa yake ya kimkakati. Ni mshindwa aliye tayari kujifunza kutoka kwa mshindi. Ni yule anayetamka na kumaanisha kuwa ... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Reactions::

Neno La Leo Linakuja!

Jioni hii. Tatizo bado niko mbugani na mtandao ni wa kusuasua. Poleni kwa usumbufu.
Maggid
Tungamalenga
Pawaga.
Reactions::

Nimeokoa Siku Yake!



Jana usiku hapa kijijini Tungamalenga nilimkuta mzee wangu huyu ( Pichani) akiwa anatazama kwa kuibia mechi ya Arsenal na Man City. Hakuwa na kiingilio; chupa moja ya soda ndio kiingilio. Kila anayeingia kutazama mechi lazima anunue chupa ya soda. Na hakukuwa na aina nyingine ya soda bali Pepsi. Nami pia nililazimika kunywa Pepsi. Basi, nilimwonea huruma mzee wangu huyu. Nikamwingiza ndani kutazama soka kwa kumnunulia Pepsi moja. Na furaha yake kubwa baada ya pambano kwisha ni kumwona kipenzi chake, Adebayor!
Reactions::