Wednesday, August 31, 2011
Mjomba Hanifa Huyu!
Leo kashiriki kikamilifu kuniandalia mjombawe na timu yangu mlo mwanana wa Eid pale Rujewa kabla hatujaelekea kijijini kwetu Nyeregete. Ahsante sana!
| Reactions:: |
Dada Zangu Hawa!
Mama Hadija kushoto na Mama Hanifa. Rujewa, Binti wa sahangazi mama Abdul. Waliniandalia pilau ya nguvu mimi na timu yangu mchana wa leo. Mlo wa jioni ni kijijini Nyeregete. Nyeregete kuna digidigi wengi. Ni watamu kwa kuwachoma!
| Reactions:: |
Swala Ya Iddi Zanzibar
Picha 1: Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein akiwahutubia viongozi na wananchi hawapo pichani kwenye ukumbi wa Salama Holl Bwawani Zanzibar baada ya kumalizika kwa mfungo wa ramadhani.
Picha 2: Naibu Mufti wa Zanzibar Sheikh Swaleh Omary Kaab akimkaribisha Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein kuhutubia baraza la Iddi lililofanyika kwenye ukumbi wa Salama Holl Bwawani Zanzibar.
Picha 3: Umati katika swala ya Iddi kwenye uwanja wa Maisara
Picha 4: Umati katika swala ya Iddi kwenye uwanja wa Maisara
Picha zote: Yusuf Simai, Maelezo Zanzibar
| Reactions:: |
JK Ashiriki Swala Ya Iddi Msikiti Wa Kichangani,Magomeni Mapipa DSM
Picha 1: Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimu waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Picha 2: Baadhi ya Waumini wa dini ya Kiislamu wakiswali swala ya Iddi katika msikiti wa kichangani uliopo Magomeni jijini Dar es Salaam leo asubuhi
Picha 3: Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapa mkono wa Iddi baadhi ya waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Picha zote: Freddy Maro
| Reactions:: |
TTCL Yatoa Zawadi Za Idi Kwa Wazee Wasiojiweza Na Watoto Yatima Kilimanjaro
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Said Amir Said aliyevaa suti akikabidhi zawadi za siku kuu ya Idi kwa wazee wasiojiweza na watoto yatima mkoani Kilimanjaro. Picha: Issa Michuzi
| Reactions:: |
Baa La Njaa Somalia; Orodha Ya Waliochangia Na Jumla Iliyopatikana Hadi Sasa....
Watoto Wanne Wanakufa, Familia Moja; Tunafanya Nini?
Mwenzetu Bi. Naima Abdalah Besta amekuja na wazo la kuwachangia ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto wanaokufa njaa kila siku. Na mchango wako waweza kuwa hata wa shilingi elfu moja. Na hapa ni taarifa ya michango hadi sasa;
1. Anonymous 100,000
2. Anonymous 100,000
3.Edwin Namnauka 15,000
4. Dennis Tagalile 20,000
5.Batamwa Rwamugila 5,000
6.Joyce Mpangile 5,000
7. Humphrey Mutakyawa 10,000
8. Dr. Bukaza Chachage 10, 000
9. Fidelis Msigwa 10,000
10.Sagisto Amon 24,500
11.Omari Mzirai 10,000
12. Anonymous 10,000
13. J. J Dickson 34,750
14. Priscula Mushi 30,000
15. David Kafulila 160,000
16. Salum Maleta 10,000
17. Zitto Kabwe 250,000
18. Ephraem Madembwe 10,000
19. Sarafina Hossa 10,000
20. Fullshangweblog 20,000
21. Chibiriti 20,000
22.Joseph Rwezahura 5,000
23. Joseph Ludovic 5,000
24.Godwin Mbwiga 21,000
25.Wenge Swill 5,000
26.Brown Mwashimaha 5,000
27. Mrisho Mpoto (Mjomba) 50,000
28. Ausy Francis 15,000
29. Sigisto Simba 29,750,00
30. Anonymous 155,622, 78
31. Anonymous 20,000
31. Anonymous 20,000
32. Hamisi Omari 10,000
33. Nelson Bisigoro 15,000
34. Eileen M. Kihula 30,000
35. Anonymous 10,000
36. Mariam Salim Milinga 15,000
37. Anonymous 50,000
37. Anonymous 50,000
38. Halifa Mjengwa 75,000
39. Abbakari Jumanne 100,000
40. Anonymous 16,000
40. Anonymous 16,000
Jumla iliyopatikana hadi sasa ni; 1,496,622, 78 (Shilingi Milioni Moja, laki nne na tisini na sita , mia sita na ishirini na mbili na senti sabini na nane )
Bado tunaendelea kukusanya michango yenu...
Na hapa ni taarifa husika; Zaidi ya watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa katika nchi 3 za Afrika Mashariki. Watoto zaidi ya milioni mbili wako katika hali mbaya. Watoto laki 5 wamekumbwa na utapia mlo mbaya unaohatarisha maisha yao. Kati yao watoto zaidi ya 10 hufa kila siku.
Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani, shirika hilo linahitaji Dola za Kimarekani milioni themanini hadi kufikia mwisho wa mwaka huu ili liweze kufanikisha kazi ya kuokoa maisha ya ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto.
Tulio tayari tusaidie kwa kuchangia kwa ajili ya watoto hao waliokumbwa na janga la njaa huko Somalia. Michango hiyo itakapopatikana itapelekwa moja kwa moja Red Cross Dar es Salaam ili baadae iwafikie walengwa.
Changia kwa kutuma kwa M-PESA 0754 678 252 Au TIGO PESA; 0712 95 61 31, ZAP 0788 111 765 ( Maggid Mjengwa) Au NMB- PESA-FASTA- 0754 678 252 ( Ukituma kwa NMB- PESA-FASTA unijulishe kwa ujumbe ili nipate nr ya simu ya mtumaji ambaye atakuwa na namba za siri za kutolea pesa)
Au ukitaka unaweza pia kutuma moja kwa moja kwenye Account Number:
01j2070759000 ( CRDB, Iringa) Jina, Maggid j. Mjengwa
Anayechangia kwa njia ya benki anijulishe kwa email au sms.
Au kwa Western Union, Maggid Mjengwa, Iringa. ( Atumaye anijulishe pia)
Namna nyingine rahisi ya kuchangia? Wasiliana na;
mjengwamaggid@gmail.com au sms; +255 754 678 252, Plus 255 712 95 61 31
Utapata maelezo ya njia rahisi ya kutuma mchango wako.
Mwisho wa kukusanya michango ni Septemba 11, 2011. Baada ya hapo tutaweka orodha ya majina na kiasi kilichochangwa kwenye Mjengwablog (http://mjengwa.blogspot.com/) na iwapo hutataka jina lako liwemo kwenye orodha, basi, utatambulika kama 'anonimous'.
Wahenga walinena; kutoa ni moyo, usambe ni utajiri.
Wenu,
Maggid Mjengwa
Mratibu wa Michango
| Reactions:: |
Anayetaka Kufaidi Mpunga Wa Eid; Aende Kwa Babu!
Pilau, biriani na ubwabwa bwelele, na utasukumia na ' kikombe orijino' cha Babu. Wengine wote walikunywa juisi!
| Reactions:: |
Hivi Kwa Ngeleja Hakuna Chenji Iliyobaki?!
Na watani zangu Wasukuma hawana dogo. Nasikia Ngeleja shughuli ya Jairo Wizarani aliifungia safari- Dodoma- Dar. Si kulikuwa na vya kuchoma!
| Reactions:: |
Basi La Champion Laua Watu Nane Dodoma
| Reactions:: |
Tendwa,Mkuchika Nao Watofautiana Vikali *Ni Kuhusu Madiwani Waliofukuzwa CHADEMA
![]() |
| Reactions:: |
Majeshi Ya Gaddafi Yatakiwa Kusalimu Amri
| Reactions:: |
Tuesday, August 30, 2011
Sherehe Ya Siku Ya Kuzaliwa Ya Mtoto Iman Pinto
![]() |
| Mwenyekiti wa TASWA, Juma Pinto akikata keki tayari kumlisha mwanawe Imani |
| Reactions:: |
Beach Soccer World Cup Revenna, Italy
| Reactions:: |
Benki Ya NMB Tawi La Ludewa Lawamani
| Reactions:: |
Precision Air Services LMT Imeanzisha Safari Za Ndege Kwenda Nchini Afrika Kusini
| Reactions:: |
Jumuiya Ya Waislamu Wa-Tanzania Waishio Marekani Wamfuturisha Balozi Mwanaidi Maajar
| Waumini wakipata futari ilioandaliwa na jumuiya ya Kiislamu Tanzanian Muslim Community Washngton DC |
| Waumini wa jumuiya ya Kiislamu Tanzanian Muslim Community wakiwa katika futari |
| Reactions:: |
Wasuni Waswali Swala Ya Idd al Fitr Leo
| Waumini wa Kiislamu wa dhehebu la Suni,wakiingia katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya swala ya Idd al Fitr. |
| Reactions:: |
Baa La Njaa Somalia; Orodha Ya Waliochangia Na Jumla Iliyopatikana Hadi Sasa....
Watoto Wanne Wanakufa, Familia Moja; Tunafanya Nini?
Mwenzetu Bi. Naima Abdalah Besta amekuja na wazo la kuwachangia ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto wanaokufa njaa kila siku. Na mchango wako waweza kuwa hata wa shilingi elfu moja. Na hapa ni taarifa ya michango hadi sasa;
1. Anonymous 100,000
2. Anonymous 100,000
3.Edwin Namnauka 15,000
4. Dennis Tagalile 20,000
5.Batamwa Rwamugila 5,000
6.Joyce Mpangile 5,000
7. Humphrey Mutakyawa 10,000
8. Dr. Bukaza Chachage 10, 000
9. Fidelis Msigwa 10,000
10.Sagisto Amon 24,500
11.Omari Mzirai 10,000
12. Anonymous 10,000
13. J. J Dickson 34,750
14. Priscula Mushi 30,000
15. David Kafulila 160,000
16. Salum Maleta 10,000
17. Zitto Kabwe 250,000
18. Ephraem Madembwe 10,000
19. Sarafina Hossa 10,000
20. Fullshangweblog 20,000
21. Chibiriti 20,000
22.Joseph Rwezahura 5,000
23. Joseph Ludovic 5,000
24.Godwin Mbwiga 21,000
25.Wenge Swill 5,000
26.Brown Mwashimaha 5,000
27. Mrisho Mpoto (Mjomba) 50,000
28. Ausy Francis 15,000
29. Sigisto Simba 29,750,00
30. Anonymous 155,622, 78
31. Anonymous 20,000
31. Anonymous 20,000
32. Hamisi Omari 10,000
33. Nelson Bisigoro 15,000
34. Eileen M. Kihula 30,000
35. Anonymous 10,000
36. Mariam Salim Milinga 15,000
37. Anonymous 50,000
37. Anonymous 50,000
38. Halifa Mjengwa 75,000
39. Abbakari Jumanne 100,000
40. Anonymous 16,000
40. Anonymous 16,000
Jumla iliyopatikana hadi sasa ni; 1,496,622, 78 (Shilingi Milioni Moja, laki nne na tisini na sita , mia sita na ishirini na mbili na senti sabini na nane )
Bado tunaendelea kukusanya michango yenu...
Na hapa ni taarifa husika; Zaidi ya watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa katika nchi 3 za Afrika Mashariki. Watoto zaidi ya milioni mbili wako katika hali mbaya. Watoto laki 5 wamekumbwa na utapia mlo mbaya unaohatarisha maisha yao. Kati yao watoto zaidi ya 10 hufa kila siku.
Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani, shirika hilo linahitaji Dola za Kimarekani milioni themanini hadi kufikia mwisho wa mwaka huu ili liweze kufanikisha kazi ya kuokoa maisha ya ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto.
Tulio tayari tusaidie kwa kuchangia kwa ajili ya watoto hao waliokumbwa na janga la njaa huko Somalia. Michango hiyo itakapopatikana itapelekwa moja kwa moja Red Cross Dar es Salaam ili baadae iwafikie walengwa.
Changia kwa kutuma kwa M-PESA 0754 678 252 Au TIGO PESA; 0712 95 61 31, ZAP 0788 111 765 ( Maggid Mjengwa) Au NMB- PESA-FASTA- 0754 678 252 ( Ukituma kwa NMB- PESA-FASTA unijulishe kwa ujumbe ili nipate nr ya simu ya mtumaji ambaye atakuwa na namba za siri za kutolea pesa)
Au ukitaka unaweza pia kutuma moja kwa moja kwenye Account Number:
01j2070759000 ( CRDB, Iringa) Jina, Maggid j. Mjengwa
Anayechangia kwa njia ya benki anijulishe kwa email au sms.
Au kwa Western Union, Maggid Mjengwa, Iringa. ( Atumaye anijulishe pia)
Namna nyingine rahisi ya kuchangia? Wasiliana na;
mjengwamaggid@gmail.com au sms; +255 754 678 252, Plus 255 712 95 61 31
Utapata maelezo ya njia rahisi ya kutuma mchango wako.
Mwisho wa kukusanya michango ni Septemba 11, 2011. Baada ya hapo tutaweka orodha ya majina na kiasi kilichochangwa kwenye Mjengwablog (http://mjengwa.blogspot.com/) na iwapo hutataka jina lako liwemo kwenye orodha, basi, utatambulika kama 'anonimous'.
Wahenga walinena; kutoa ni moyo, usambe ni utajiri.
Wenu,
Maggid Mjengwa
Mratibu wa Michango
| Reactions:: |
Hii Imekaaje?
Waziri wetu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana amemwita ofisini kwake Balozi wa Libya nchini Prof. Ahmed Al Ash'hab. Kisa? Ubalozi huo umebadilisha bendera ya Libya, kuondoa iliyokuwa ikitumika enzi za Gaddafi na kuweka inayotumiwa sasa nchini Libya. Ubalozi huo unaambiwa umefanya hivyo bila kufuata utaratibu. Je, hii imekaaje? Picha na Tagie Mwakawago wa Mambo ya Nje.
| Reactions:: |
Tanzanian Muslim Community In Washington DC Metro, Inakutakia....
IDD MUBARAK
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO) unawatakia wote IDDI MUBARAK.
Pia mnakaribiswa katika sherehe za Aidil Fitr za Pamoja zitakazo fanyika at:
Hillandale PAB - Hillandale Local Park:
10615 New Hampshire Avenue,
Silver Spring,
MD 20903
SAT. 09/03/11
Starting at 3.00PM
Uongozi
TAMCO
| Reactions:: |
Biafra Jogging And Sports Club!
Pichani ni Kinondoni Biafra miaka ya 80
BIAFRA JOGGING & SPORTS CLUB – 90 DEGREE PUB KINONDONI
BIAFRA JOGGING & SPORTS CLUB – 90 DEGREE PUB KINONDONI
RATIBA YA HAFLA YA KUJUMUIKA PAMOJA NA WATOTO KATIKA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA IDD MOSI, UKUMBI WA 90 DEGREES PUB KINONDONI - AGOSTI, 2011
MUDA | TUKIO | MUHUSIKA |
07:00 – 08:00 | Wadau wote kuwasili klabuni na maandalizi ya kuanza kukimbia | Katibu Msaidizi Biafra Jogging |
08:00 – 09:00 | Uzinduzi wa mbio | M/Kiti S/M na M/Kiti Biafra Jogging |
09:00 – 09:30 | Chai kwa watoto | Meneja 90° Pub, Sarah, Emmy |
09:30 – 10:30 | Kuwasili uwanjani na kuanza michezo mbalimbali | William John, Selemani Hamis |
10:30 – 11:00 | Kurudi klabuni na kuwasili kwa mgni rasmi | Katibu Biafra Jogging |
11:30 – 11:45 | Kusomwa Risala ya watoto | Katibu, mwakilishi tok Boko |
11:45 – 12:30 | Burudani ya nyimbo na maigizo toka kwa watoto | Katibu Biafra Jogging, watoto |
12:30 – 12:45 | Risala na maelezo mafupi ya klabu | Mkurugenzi 90°Pub, viongozi klabu rafiki |
12:45 – 01:00 | Maneno machache toka kwa mgeni rasmi (kujibu risala) | Mgeni Rasmi |
01:00 – 01:45 | Mashindano mbalimbali ya watoto (chemsha bongo, kucheza, n.k.) | Katibu, Mkurugenzi 90° Pub, watoto |
01:45 – 02:45 | Chakula cha mchana na burudani | Meneja 90°, Happy Mdeka, Sarah, Riddy Sound |
02:45 – 03:00 | Burudani na maandalizi ya zawadi | Happy Mdeka, Mkurugenzi 90°, Makamu M/kiti |
03:00 – 03:30 | Kugawa zawadi kwa watoto walioshiriki mashindano | Mgeni Rasmi, Makamu M/Kiti, Mkurugenzi 90° |
03:30 – 04:00 | Burudani ya muziki kwa watoto | Ritchie - Riddy Sound “in the house” |
04:00 – 04:30 | Watoto kuondoka | Henry Maseko, Robert Kabugi, Makamu M/Kiti |
KARIBU SANA, JUMUIKA PAMOJA NA WATOTO KWA UPENDO, FURAHA NA MATUMAINI
| Reactions:: |
Zawadi Ya Eid Toka Kwa Mwanablogu Nova Kambota
Natoa wazo “ukweli mchungu ila una manufaa” sasa naomba nitofautiane na watanzania wenzangu kuelekea siku kuu ya Idd Elfitri, mimi sitatoa mbuzi, sitatoa mchele wala soda, bali natoa zawadi itakayoishi milele kuanzia kwa watoto wetu mpaka wazee wetu, Idd Mubarak watanzania wenzangu “NAOMBA TUJENGE UTAMADUNI WA KUPENDA KUJISOMEA DAIMA”
Nova Kambota
| Reactions:: |
Monday, August 29, 2011
JK Aongoza Kikao cha Kamati Kuu Ya CCM Jijini Dar es Salaam
Tanzania Yakiri Gaddafi Kuangushwa
| Reactions:: |
Subscribe to:
Posts (Atom)

























