Kuna watembeleaji 169  wapo online

Karibu Mjengwablog

Rasimu ya Katiba

Maswali & Majibu

Je una swali au tatizo lolote unatafuta majibu?

Matangazo Mapya

Azania Bank Limited is the first indigenous private bank, formerly kno ...

magazetini leo, Alhamis

Published in Jamii

mwananchi 9cce3

daima a14c0

nipashe df41e

uhuru 85996

jleo 10d25

hleo ab879

mtanzania c209e

Chanzo: millardayo.com

 

 

 

 

 

Wabunge Chadema wasimulia mkong’oto

Published in Siasa

lissu1 d4e9d

Wabunge wanne wa Chadema, ambao waliachiwa na polisi kwa dhamana wamesimulia mateso waliyoyapata wakiwa rumande baada ya kukamatwa juzi.

Vigogo hao; Mbunge wa Mpanda Mjini Said Amour Arfi, Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti maalumu), walikamatwa juzi baada ya wao na wafuasi wa chama hicho kutawanywa kwa mabomu ya machozi na polisi kwenye Viwanja vya Soweto, Arusha.

Wabunge hao waliachiwa baada ya kujidhamini wenyewe huku watu wengine 65 waliokamatwa pamoja nao wakiachiwa baada ya kudhaminiwa.

Wote wanatakiwa kuripoti kwenye kituo hicho Julai 22, mwaka huu na wataelezwa hatma ya suala hilo.

Soma zaidi...

BRAZIL yaibamiza MEXICO 2-0

Published in Michezo

brazil ab925

Neyman akishangilia baada ya kufunga bao

brzil2 56ec5

Wachezaji wa Brazil wakishangilia

Soma zaidi...

Muhula Wa Masomo Iringa International School Unamalizika Leo

Published in Jamii

b7 d54ce

Pichani ni baadhi ya wazazi wa wanafunzio waliopo na watarajiwa.

Neno Fupi La Usiku: Kama Wote Tumeshindwa, Tunafanyaje?

Published in Jamii

8 53582

Ndugu zangu,

Huu si wakati wa kutafuta mshindi, maana, hapa tulipofikia sote tumeshashindwa. Ni wakati wa kutanguliza hekima na busara za hali ya juu. Na maamuzi mengine tunayotakiwa kuyafanya sasa yasitokane na mazoea ya siku za nyuma, bali, uzoefu mpya tunaoupata sasa.
Maggid Mjengwa,
Iringa.

6 35491



Olle anajua kuwa baba yake ni mpenzi wa Man United, hivyo anacho cha kulinganisha kwa kusema..

-Kwamba Man United mwaka huu imetimiza mataji 20 ya ubingwa. Na mimi na mke wangu mpendwa leo tumetimiza miaka 20 ya ndoa yetu!
- Kwamba Man United hawachoshwi na ushindi. Na mimi na mke wangu hatuchoshwi na mapenzi!

Na Olle pia anaijua diplomasia kidogo, maana, hakumgusia kabisa kocha Alex Ferguson...!

Pichani nilipokuwa Zanzibar, 1988. Ilikuwa ni safari yangu ya kwanza kuvuka bahari ya Hindi.

Usiku Mwema.

Maggid,
Iringa.

Wanafunzi tisa wauawa na Boko Haram

Published in Siasa

boko 83b61Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, wamewaua wanafunzi tisa , katika shambulizi la pili ambalo limewalenga wanafunzi katika siku za hivi karibuni.

Washambuliaji wanaoaminika kuwa wanachama wa kundi la wapiganaji wa Boko Haram, waliwashambulia kwa risasi wanafunzi hao waliokuwa wamevalia sare za shule katika shule moja viungani mwa mji wa Maiduguri.

Soma zaidi...

Mawaziri wawili wafutwa kazi Sudan Kusini

Published in Siasa

fedha e5b4bRais wa Sudan Kusini Salva Kiir, amewafuta kazi mawaziri wawili serikalini wanaohusishwa na sakata kubwa na mamilioni ya dola .

Bwana Kiir pia amewaondolea kinga dhidi yao wakiwa waziri wa fedha Kosti Manibe na mwenzake anayehusika na maswala ya baraza la mawaziri Deng Alor kushtakiwa na kuamuru kuanzishwa kwa uchunguzi dhidi yao

Soma zaidi...

Ajali za Bodaboda zinaua zaidi

Published in Jamii

ajali 14f54
 

Na John Banda, Dodoma

 

JUMLA ya watu 19 wamepoteza maisha kati ya Januari na June mwaka huu kutokana na ajali zilizosababishwa na uzembe wa madereva  wanaondesha Bodaboda.

 Hayo yamesemwa na kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma David Misime alipokuwa akifungua mkutano kati ya jeshi hilo na waendesha Bodaboda uliofanyika katika Bwalo la Polisi kwa lengo la kutatua changamoto ya Ajali za mara kwa mara.

 Kamanda Misime alisema katika kipindi hicho jumla ya ajali 48 sawa na asilimia 18.7,  zilitokea na kati ya ajali hizo 17 zikiua watu 19  na nyingine 31 zikisababisha majuruhi 47 walioachwa na ulemavu wa kudumu, huku ajali 42 zikiwa zimesababishwa na Waendesha Bodaboda boda.

Soma zaidi...

AMISOM yalaani mashambulizi Mogadishu

Published in Siasa

somali 47be1

Mjumbe maalum wa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (SRCC) nchini Somalia, Balozi Mahamat Saleh Annadif ameshutumu vikali shambulio la kigaidi lililofanywa leo na magaidi wa Al-Shabaab katika makao ya Umoja wa Mataifa mjini Mogadishu.

"Tunalaani vikali shambulio hili la kinyama katika makao ya Umoja wa Mataifa mjini Mogadishu. Mashambulio haya yasiyofanikiwa yanayoendeshwa na Al-Shabaab yanalenga tu kuvuruga jitihada zinazochukuliwa na wananchi wa Somalia baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa zaidi ya ishirini na magaidi hao..

Soma zaidi...

Marekani, Taliban kuanza mazungumzo

Published in Siasa

taliban a454d

Marekani imetangaza kwamba itaanza majadiliano na kundi la Taliban baadaye wiki hii katika juhudi za kubuni mpango wa kumaliza zaidi ya muongo mmoja wa vita nchini Afghanistan.


Maafisa wa Marekani wanasema mazungumzo yataanza Alhamisi mjini Doha, mji mkuu wa Qatar. Maafisa wa yeo vya juu wa wizara ya mambo ya nchi za nje na White House wanatazamiwa kukutana na ujumbe wa Taliban katika kile kinachoelezwa ni mazungumzo ya awali.

Soma zaidi...

Miaka 20 Ni Kama Jana Tu..., Eti?!

Published in Jamii

7 e85d2
Pichani ni makamanda wangu, mke wangu mpenzi na mimi.
Mlimani City, Aprili, 2012.
Maggid,
Iringa.

01 b899f

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mabalozi wateule wa Tanzania, wanaokwenda kuripoti kwenye Vituo vyao vya kazi nje ya nchi, wakati mabalozi hao walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 19, 2013 kwa ajili ya kumuaga mhe. Makamu. Kutoka Kushoto ni Balozi Modest Mero, anayekwenda Umoja wa Mataifa, Geneva, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, anayekwenda, Abu Dhabi UAE, Balozi Chabaka Kilumanga, anayekwenda Comoro, Balozi Wilson Masilingi, anayekwenda The Hague, Uholanzi na Balozi Liberata Mulamula, anayekwenda Washington D.C, Marekani. Picha na OMR

04 747c5

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wateule wa Tanzania, wanaokwenda kuripoti kwenye Vituo vyao vya kazi nje ya nchi, wakati mabalozi hao walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 19, 2013 kwa ajili ya kumuaga mhe. Makamu. Kutoka Kushoto ni Balozi Chabaka Kilumanga, anayekwenda Comoro, Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk, anayekwenda, Abu Dhabi UAE, Balozi Modest Mero, anayekwenda Umoja wa Mataifa, Geneva (kulia) ni Balozi Wilson Masilingi, anayekwenda The Hague, Uholanzi na Balozi Liberata Mulamula, anayekwenda Washington D.C, Marekani. Picha na OMR

Ethiopia, Misri kuzungumza zaidi juu ya mto Nile

Published in Uchumi

nile2 00a54

Ujenzi wa bwawa la kufua umeme, nchini Ethiopia

  

00017 7ebb3Ethiopia na Misri wamekubaliana kufanya mazungumzo ya ziada juu ya athari za bwawa kubwa ambalo Ethiopia inalijenga kwenye mto Nile.  

Wiki iliyopita Rais wa Misri, Mohammed Morsi alisema hataki vita lakini ataweka mapendekezo yote wazi yanayohusu majibu ya nchi yake kwa mradi wa bwawa hilo ambalo Misri inawasi wasi utapunguza sana kiwango cha usambasaji wake wa maji.  

Soma zaidi...

Tendwa alaani mlipuko wa bomu Arusha, kuzikutanisha CCM na CHADEMA

Published in Siasa

 tendwa1 12771

MSAJILI  wa Vyama Vya Siasa nchini John Tendwa amesema ili kuhakikisha kuwa amani inaendelea kudumu ni muhimu kuwepo kwa uvumilivu na kuhueshimiana  kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Soma zaidi...

Marekani kuanza mazungumzo na Taliban

Published in Siasa

00019 e6a06

 

Taliban

 

00020 8142b

 

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Qatari Ali bin Fahd al-Hajri na Jan Mohammad Madani, mmoja wa maafisa wa Taliban akikata utepe katika ufunguzi rasmi wa ofisi y aTaliban huko Doha, Qatar.

Soma zaidi...

AVB AWAPIGA CHINI PSG, WAANGUKIA KWA CAPELLO

Published in Michezo

WAZIRI FENELLA AZUNGUMZIA UJENZI WA AKADEMI

Published in Michezo

fenela a7357

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Fenella Mukangara akifafanua jambo leo jijini Dar es Salaam wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu ujenzi wa Academy ya Mpira wa miguu itakakayojengwa na Kampuni ya Symbion Power ya Marekani  kwa kushirikiana na Club ya Sunderland ya jijini London.Ujenzi huo unatokana na ahadi aliyopewa Rais Jakaya Kikwete alipokuwa katika ziara ya kikazi nchini Uingereza. Chanzo:Genofeva Matemu - Maelezo.

KLABU THAILAND YASAKA WACHEZAJI TANZANIA

Published in Jamii

tff d163e

Klabu ya Thai Port Football ya Thailand inatafuta wachezaji nchini Tanzania kwa ajili ya kucheza mpira wa miguu nchini humo na katika nchi nyingine barani Ulaya.

Kupitia kwa wakala wake, klabu hiyo imetuma taarifa kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ikitaka wachezaji wenye umri kuanzia miaka 15 hadi 28 kwa ajili ya kuwafanyia majaribio ambapo watakaofuzu watacheza nchini humo na katika klabu nyingine za Ulaya ambazo wana ushirikiano nazo.

Wachezaji wenye nia ya kufanya majaribio wanatakiwa kutuma taarifa za wasifu wao (CV) kwa klabu hiyo kwa njia ya emaili, wawe na pasi ya kusafiria pamoja na pasi ya mchezaji (player passport).

Soma zaidi...

Saida Kalori ni Mzima yuko Mbeya, aongea na Millard ayo

Published in Michezo

  

Saida-Kalori1 599b7

Saida Kalori ameongea na millardayo.com akiwa wilaya ya Mbeya  na kusema amekua akipigiwa simu nyingi sana watu wakitaka kujua kama kafariki kweli, amekua akiambiwa taarifa mbalimbali kuhusu kifo chake… wengine wanasema kapata ajali ya boti iliyozama, wengine kapata ajali ya gari lakini ukweli ni kwamba hakuna lolote lililomtokea, ni mzima wa Afya. 

(Millardayo-Saida) "Nimepigiwa simu zaidi ya 250 kutoka kwa watu mbalimbali kati ya saa 12 jioni na 9 usiku mpaka simu ikazima"Chanzo: millardayo.com

tff yawashukuru watanzania KUIUNGA MKONO STARS

Published in Michezo

Tenga-wa-TFF a0606Rais wa TFF, Leodger Tenga

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linawashukuru washabiki kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia kati ya Taifa Stars na Ivory Coast (The Elephants) iliyochezwa juzi (Jumapili) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Soma zaidi...

magazetini leo, Jumatano

Published in Jamii

  

 

mwananchi 89b2c

nipashe 9506b

 

daima b08c9

 

hleo 4931c

Soma zaidi...

Watanzania Wa Alberta...

Published in Jamii

4 97705

HISPANIA yatwaa ubingwa u21, yaibamiza Italia 4-2

Published in Michezo

2 a4e09

Hispania U-21 wakishangilia ubingwa baada ya kuibamiza Italia 4-2

3 a98b1

Hispania wakishangilia

Soma zaidi...

Tafuta Habari

Maswali Mapya

1 week ago 0 362
1 week ago 1 420
2 weeks ago 1 643
mahusiano
Limeulizwa na Mjengwa Blog
2 weeks ago 1 644

Nafasi za Kazi & Masomo

Prev Next

Makamanda Na Football Propaganda!

Leo wametinga mitaa ya kati Iringa Mji...

Soma zaidi

nafasi za ajira Un

In collaboration with the Department o...

Soma zaidi

Sales & Marketing Personels

Comifora Camps Date Listed: Dec 27, 2012...

Soma zaidi

Human Resources - Trainer

People Power Limited Date Listed: Dec 21...

Soma zaidi

Video Gallery

Kwa video za matukio mbalimbali yanoyotokea Tanzania.

Maoni ya Wanakijiji

Mlisho wa habari

Pokea habari mpya au mukhtasari wa habari kwa Email

Zilizosomwa Zaidi

BLOG SHABIHANA

Wachangiaji Wakuu

Mjengwa Blog
Maswali 2 · Majibu 0
Michele
Maswali 1 · Majibu 1
Nyoni M
Maswali 1 · Majibu 0
Daud
Maswali 1 · Majibu 0